Sukari

Zuchu

Eti nimemlambisha ananambia chombezaa (chombeza)
Tena nikiizidisha ananambia kolezaa (koleza)
Nikitaka kusitisha ananambia ongezaa (ongeza)Japo imethibitishwa ila itampoteeza a
Ikipanda ni bala (naogopa)
Ikishuka ndo hatari (naogopa)
Asije pata madhalaa (naogopa)
Akaikosa na hali (naogopa)
Ladha yake msalaa (naogopa)
Shira ya kizanzibar (naogopa)
Nami simpii mi wala
Akitaka nampa

Ai su kaari (nampatia)
A Sugar sukari (nampatia)
Su kaari (nampatia)
A Sugar sukari (nampatia)
Su kaari (nampatia)
Sugar sukari (nampatia)
Su kaari (nampatia)
A Sugar sukari (nampatia)

Na akilia njaa
Juu njaa sifanyi ajisi
Namjazia jaa
Juu jaa na vitangawizii eeeh
Baba chanja baba chanja e (eeeeh)
Chukua vyote chukua (kulaa)
Vitafune nganjanganja e (eeeeh)
Chakua mwaya chakau (kulaa)
Ujibusti na karanga e (eeeeh)
Tuliza na kitumbua ila (kulaa)
Jiadhali na majanga we
Usije ukaugua mana
Ikipanda ni balaaa (naogopa)
Ikishuka ndo hataali (naogopa)
Asije pata madhara (naogopa)
Akaikosa na hali (naogopa)
Ladha yake msalaa (naogopa)
Shira ya kizanzibar (naogopa)
Nami simpii mi wala
Akitaka nampa

Ai su kaari (nampatia)
A Sugar sukari (nampatia)
Su kaari (nampatia)
A Sugar sukari (nampatia)
Su kaari (nampatia)
Sugar sukari (nampatia)
Su kaari (nampatia)
A Sugar sukari (nampatia)

Nimroge kwanini kashanogewa (daambua dambua)
Udambu wa sukarini tamu kolea (daambua dambua)
A sema da dambua (dambua)
We dambua (dambua)
Alua aluaa (dambua)
We dambua (dambua)
A sema da dambua (dambua)
We dambua (dambua)
Inama kama unafua (dambua)
Kiguru nyanyuaa (dambua)
Ey

Daftar lirik lagu Zuchu