Kata

Matata

Ni birthday ni party, ni yako
Na maji tunakata juu yako
Ma cookie na ma keki Ni zakoWe kam tu na caro, pitanga uki

Kata, kata, kata kairetu kata
Kata usiogope, leo tuna parteee
Watuokote
Kata, kata, kata kairetu kata
Kata usiogope, leo tuna parteee
Watuokote

Leo Leo leo ni leo leo
Ile siku, Dudu hugeuka, kipepeo
Ile siku paka huswing na kibembeo
Ile siku hadi dogi Zi huwika weaw meaw
Nina doo za kuthrow form ni how how
Mr luku luku swag ya ki bow wow
Sio masoo ni mangire mathao thao
It′s your bash make a wish blow my candle

Nimecome na zawadi, kila aina
Makolon na ma cladi za Desighner
Kabla twende bash kwanza Twende diner
Machapo machipo na take out za Ki China
Alafu Leo Dunga zile zina bana
Zenye mafisi wakiona, yes bana
Alafu tip toe kidogo sio sana
Mwambie aliye kuzaa tumesema asant sana

Ni birthday ni party, ni yako
Na maji tunakata juu yako
Ma cookie na ma keki Ni zako
We kam tu na caro, pitanga uki

Kata, kata, kata kairetu kata
Kata usiogope, leo tuna parteee
Watuokote
Kata, kata, kata kairetu kata
Kata usiogope, leo tuna parteee
Watuokote

Kairetu ka ni keki kata
Nakupata party umedunga bata
Unakataa maji we ni drunken master
Kiuno spaghetti Na mimi ni pastor
Githeri ya mary wa nyeri (Ahhh)
Sherehe na Njeri ndumberi (Ahhhh)
Puliza candle wish icome true
Peng ting me na handle age ni number tu

Sijaitwa bash nimekam kimangoto
Zikishika nakwama kiroboto
Na mzinga mi si buy mi si msoto
Ka ni ngori sijajaa juu ya toto
Wanapiga mboto matata kwa mtaa
Nashinda loto nabado anakataa
Leta champagne na chupaa za belaire
Dufo mpararo leo tunaogelea

Ni birthday ni party, ni yako
Na maji tunakata juu yako
Ma cookie na ma keki Ni zako
We kam tu na caro, pitanga uki

Kata, kata, kata kairetu kata
Kata usiogope, leo tuna parteee
Watuokote
Kata, kata, kata kairetu kata
Kata usiogope, leo tuna parteee
Watuokote

Daftar lirik lagu Matata