Baba Yangu

Fanuel Sedekia

Okay twende

Baba yangu wa mbinguni, yanipasa nishukuru
Isingelikua ni wewe, nisingelipata wokovu
Isingelikua ni wewe, nisingelipata wokovu
Baba
(Baba yangu wa mbunguni), yanipasa
(Yanipasa nishukuru) isingekua
(Isingelikua ni wewe, nisingelipata wokovu)
Isingekua
(Isingelikua ni wewe, nisingelipata wokovu)

Eeh, Baba yangu
(Baba yangu wa mbinguni) yanipasa
(Yanipasa nishukuru) isingekua
(Isingelikua ni wewe, nisingelipata wokovu)
Isingekua
(Isingelikua ni wewe, nisingelipata wokovu)

Damu yako ya thamani, imeniosha kabisa
Isingelikua ni wewe, nisingelipata wokovu
Isingelikua ni wewe, nisingelipata wokovu
Baba
(Baba yangu wa mbinguni) yanipasa
(Yanipasa nishukuru) isingekua
(Isingelikua ni wewe, nisingelipata wokovu)
Isingekua
(Isingekua ni wewe, nisingelipata wokovu)

Eeh, Baba yangu
(Baba yangu wa mbinguni) yanipasa
(Yanipasa nishukuru) isingekua
(Isingelikua ni wewe, nisingelipata wokovu)
Isingekua
(Isingelikua ni wewe, nisingelipata wokovu)
Isingekua
(Isingelikua ni wewe, nisingelipata wokovu)
Isingekua
(Isingelikua ni wewe, nisingelipata wokovu)
Isingekua
(Isingelikua ni wewe, nisingelipata wokovu)
Isingekua
(Isingelikua ni wewe, nisingelipata wokovu)
Isingekua
(Isingelikua ni wewe, nisingelipata wokovu)
Isingekua
(Isingelikua ni wewe, nisingelipata wokovu)
Nasema asante
(Isingelikua ni wewe, nisingelipata wokovu)
Ninashukuru
(Isingelikua ni wewe, nisingelipata wokovu)
Nakuheshimu
(Isingelikua ni wewe, nisingelipata wokovu)
Nakuabudu
(Isingelikua ni wewe, nisingelipata wokovu)
Isingekua
(Isingelikua ni wewe, nisingelipata wokovu)
Isingekua
(Isingelikua ni wewe, nisingelipata wokovu)

Isingekua ni wewe, ha ha tusingepata wokovu
Haleluya

Daftar lirik lagu Fanuel Sedekia