Tawala

Ben Cyco

Bwana we ni dereva
Endesha na maisha yangu
Chukua na usukani
Bwana tawala
Bwana we ni mchungaji
Ongoza mwana wako
Nishikilie mkono
Bwana tawala
Wewe ni amani ya moyo wangu
Chaguo la moyo wangu
Wewe ni kila kitu changu
Wewe ni amani ya moyo wangu
Chaguo la moyo wangu
Wewe ni kila kitu changu
Wewe ni kila kitu changu
Wewe ni kila kitu changu
Wewe ni kila kitu changu
Wewe ni kila kitu changu
Gusa, gusa baba ee
Gusa yote yanayonihusu
Tenda, tenda baba eeh
Makuu na miujiza
Jionyeshe Mungu
Ukitenda unatenda maradufu
Pendo lako kamili sio nusu
Bwana ee bwana, unafanya mema
Ukitenda unatenda maradufu
Pendo lako kamili sio nusu
Bwana ee bwana, unafanya mema
Wewe ni amani ya moyo wangu
Chaguo la moyo wangu
Wewe ni kila kitu changu
Wewe ni amani ya moyo wangu
Chaguo la moyo wangu
Wewe ni kila kitu changu
Wewe ni kila kitu changu
Wewe ni kila kitu changu
Wewe ni kila kitu changu
Wewe ni kila kitu changu
Maisha yangu, kazi yangu
Familia yangu, Bwana tawala
Ndoto yangu, afya yangu
Ndoa yangu, Bwana tawala
Wewe ni amani ya moyo wangu
Chaguo la moyo wangu
Wewe ni kila kitu changu
Wewe ni amani ya moyo wangu
Chaguo la moyo wangu
Wewe ni kila kitu changu
Wewe ni kila kitu changu
Wewe ni kila kitu changu
Wewe ni kila kitu changu
Wewe ni kila kitu changu

Daftar lirik lagu Ben Cyco